Hati za umiliki wa ardhi 1,134 zatolewa Sabasaba 2024
Wananchi wa Dar es Salaam, Dodoma na Pwani wafurika kupata hati zao.
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetumia fursa ya Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kuandaa, kusajili na kutoa Hatimiliki kwa...