Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thatib Kombo (Mb.) amepokea Nakala ya Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Thailand nchini Tanzania mwenye makazi yake nchini Kenya, Mhe. H.E. Morakot Janemathukorn, Katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar...
WAZIRI KOMBO APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MWAKILISHI MKAZI WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thatib Kombo amepokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa Bi. Susan Namondo katika Ofisi Ndogo...
Baada ya Mashindano ya Urembo kuzua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni.
Baada taarifa hiyo leo Chidimma Adetshina ametoa taarifa kupitia mitandao yake ya Kijamii ya...
chidimma adetshina
chidimma vanessa
hatizautambulisho
kesi
mamlaka
miss south africa 2024
mshiriki
nigeria
south africa
udanganyifu
utambulisho
vanessa
wa zamani
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,hii leo Jumatatu ikulu ya Dar amepokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Vietnam Hapa Nchini.
Hii ni baada ya hapo jana kushiriki vyema katika sherehe za uapisho wa...
Mkuu wa zamani wa jeshi la Rwanda na Waziri wa Usalama wa Ndani Jenerali Patrick Nyamvumba amewasilisha hati zake za utambulisho wa kidiplomasia leo kama Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania.
Mwa.nyamvumba aliwasilisha barua zake za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Saidi Yakubu, Julai 02, 2024 amewasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Nchi hiyo, Mhe. Azali Assoumani ambapo wamepata pia fursa ya kufanya mazungumzo kuhusu uhusiano wa nchi hizo mbili.
Balozi Yakubu ambaye aliwasilisha hati hizo za utambulisho kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.