Taarifa iliyotolewa Wiki hii kutoka kwa Mmiliki wa Twitter, Bilionea #ElonMusk, mtandao huo utaanza kuzifuta akaunti zote za watumiaji ambao hawajaingia kwa zaidi ya siku 30.
Awali, Sera ya #Twitter ilikuwa na maelezo kuwa ili uweze kumiliki akaunti yako inatakiwa angalau usivuke miezi 6 bila...