Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa mpya kabisa operesheni za kijeshi za IDF kuwaua Viongozi magaidi inaendelea kwa Kasi ya kutisha
Muda mfupi uliopita Kamanda Mkuu wa Hamas aendaye Kwa jina la Haythem Balidi pamoja na wasaidizi wanne wameuawa kwa shambulizi la kombora la ndege za IDF huko maeneo...