hdd

  1. sky soldier

    Hard disks ni teknolojia ya zama za kale, zina uwezo mdogo wa kufanya kazi kwenye computer / Laptops, weka SSD kwa bei rahisi speed ya radi

    Teknolojia ya vifaa vya kushikilia data imekuwa kubwa sana ni ajabu naona bado Tanzania tunaendelea kutumia Hard Disks. Hard Disks huwa zinasoma data kwa vifaa kuzunguka ndani yako, Zipo slow sana, hata ukiweka ram kubwa ama uwe na processor nzuri, itakuwa na msaada kidogo, ni sawa na mtu...
  2. Mpetde

    Nini tofauti ya SSD, Cloud Storage & Virtual Storage?

    Mkuu The bump Tunaomba utoe ufafanuzi wa vifuatavyo SSD ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini? Cloud storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini? Virtual storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini? Tunaomba maelezo yaliyojitosheleza maana nimefanya km...
  3. R-K-O

    Kuongeza ufanisi wa pc kwa bajeti, Je ninunue SSD GB 128 kwajili ya windows kisha niigeuze hdd ya 1 tb kwajili ya storage au ni lazima iwe 1TB SSD ?

    Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd. laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb. nimeona speed ya pc imepungua si kama...
  4. J

    INAUZWA HDD, SSD, RAM vinauzwa bei poa

    Vimeuzwa, asanteni
  5. G

    Computer4Sale Dell laptop inauzwa, HDD: 1TB & RAM 16GB

    Heavy Duty Dell Machine (engineerng design,grphics design & games) -storage. ROM/HDD: 1TB RAM: 16GB DDR4 Processor: Intel Core i7, 2.4Mhz with graphics card. System: x64 bit-based processor Screen: 15.6" screen touch Keyboard: black Window 10 pro Battery: 4hrs Condition: CLEAN.(haina...
  6. dennoo_appliances

    Computer4Sale Nauza home appliances (tv, refrigerator, music system na air conditioner)

    Karibuni
  7. Mr_S

    Computer4Sale Hp laptop ya 500GB HDD, 4GB RAM na kioo inchi 15.6 inauzwa

    Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana. -> Kioo kina ukubwa wa inchi 15.6 -> RAM ni 4GB -> Hard disk yake ni 500GB -> CPU ni duo core ya 1.6Ghz -> Kipengele chake ni betri tu (betri imekufa lakini inapiga kazi freshi ikichomekwa waya wa kuchajia) ->Bei...
  8. monotheist

    Matumizi ya HDD

    Habari naweza tumia internal HDD ya laptop kwenye desktop kama extenal HDD? Nina dell optilex 7020 core i7 je naweza kuongeza internal HDD 2TB na isilete shida maana nimesikia hdd kubwa zinaua cpu
  9. Lawrance franci

    EXTERNAL HDD 750GB used but in Mint Condition

    Nauza EXTERNAL HDD 750GB used but but in Mint Condition. Haina tatizo,inaweza kutumika pia kama internal 70,000/= location:Dar-es-salaam wa.me.255716889489
  10. P

    INAUZWA Transcend External 2 TB 100,000 & 3 TB 200,000 used,mint condition

    Habari, Zipo external za transcend, used but in mint condition. 2TB kwa 100,000 FIXED 3TB kwa 200,000 FIXED Call 0712198128 Call 0712198128 Call 0712198128
  11. P

    INAUZWA 4TB Transcend External HDD used but in mint condition

    4TB Transcend External HDD used but in mint condition. Ipo Dar Es Salaam. Call: 0712198128 Price: 250,000
  12. P

    230,000/= 3TB Transcend External HDD - used mint condition

    Used but in mint condition. Call 0734846322
  13. DUMEGUY

    Nahitaji Hdd Password Remove Service

    Habari, Natafuta anae jihusisha na kutoa Hdd password.. Nipo Dar
  14. kikoozi

    Msaada wenu wajuzi wa computer: Bitlocker password kwenye external HDD

    Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima...
  15. osc michael

    Unawezaje kupata HDD original?

    Salaam, Nimekuwa na changamoto, kila internal hdd unayonunua inakufa baada ya muda mfupi. Je, lipi linaweza kuwa suluhisho?
  16. DUMEGUY

    Msaada kutoa password HDD

    Habari za Musa huu wadau, Niliweka password Kwa harddrive yangu sasa nashangaa password zinakataa laptop ni Dell latitude naomba msaada kuelekezwa jinsi ya kuiformart au kuibypass maana hata ukipiga Window ukifika maala ya kuchagua disk ipo empty.
Back
Top Bottom