hedhi shuleni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Suala la vyumba vya kujisitiri wasichana shuleni kipindi cha hedhi ni kitu cha kujadiliwa bungeni na kutolewa maagizo mpaka leo?

    Takwimu zimekuwa zikitolewa miaka nenda rudi, kweli hili ni swala ambalo mpaka leo halijapatiwa ufumbuzi mpaka kutolewa maagizo bungeni kuwa vijengwe vyumba vya wasichana kujisitiri kipindi cha hedhi? Tunataka kumkomboa mtoto wa kike katika elimu lakini juhudi ni ndogo sana katika kufanikisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…