hekaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. britanicca

    Tetesi: Jimbo la Zanzibar ya Wamasaai linaenda kwa mwangalizi wa Mali Mkuu wa Hekaya aliyestaafu

    MSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu, Itakuwa Mwaka 2025 wala si now Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG! Vikao 10 sasa !!! Britanicca
  2. Magical power

    MAKINIKIA: Hekaya fupi ya kaburi la wanapendanao lililopo katika jiji kongwe la Tanga ambalo linasemwa kuwa ndiyo kitovu cha mapenzi

    #MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA KABURI LA WAPENDANAO LILILOPO KATIKA JIJI KONGWE LA TANGA AMBALO LINASEMWA KUWA NDIO KITOVU CHA MAPENZI Jijini Tanga, katika kata ya Usagara karibu na uwanja wa hockey, kuna makaburi ya zamani yenye sehemu ya Kikristo na sehemu nyingine ya kijeshi ya Vita ya Kwanza ya...
  3. D

    Hekaya ya Ahmed Ally wa Simba SSC

    TAREHE 7/01/2024 " Kitendo Cha Young Africans kutolewa kimetuu sana Simba, maana tulitaka kuwafanyia unyama, tulitaka kufanya unyanyasaji wa kijinsia. Simba ndio timu Bora na Hakuna timu ya kutuzuia...." TAREHE 13/01/2024 "Mechi tumecheza vizuri sana ila katika maisha kumbuka kitu kiitwacho...
  4. MIXOLOGIST

    Hekaya za wamakonde wale walio chanjwa usoni na ndonya mdomoni

    Wakati tunaendelea kuchakata DP World, Hawa wamakonde OG walikua wengi sana Dar es Salaam, wakati huo mji umejaa mikorosho na haukua na heka heka. Hawa watu kila waendako walikua wanabadili majina na walikua wanajipa jina lolote litakalo kuwa mbele yao, mathalani: Konokono, Fiat, Train n.k...
  5. Lycaon pictus

    Hekaya za Abuuwasi na hadithi zingine

    Wengi walisoma hizi hadithi zamani. Ngoja tujikumbushe humu. Pia unaweza kusioma ndani ya maktaba app na vingine zaidi ya 60. Tupm au namba 0715278384 ukitaka kuungwa. HEKAYA ZA ABUNUWASI NA HADITHI ZINGINE Bombay; London: Macmillan,1942. pictuspublishers@gmail.com Pictuss, 2021 YALIYOMO...
  6. MIXOLOGIST

    Zile Hekaya za 'Wanyonge' na 'Mabeberu' zimefia wapi?

    Wasalaam wana JF Nilipokua mdogo niliambiwa kua uyaone. Nimekua sasa, hakika ya ulimwengu na malimwengu ni mengi na ya kustaajabisha. katika kipindi fulani niliaminishwa kwamba kuwa mnyonge ndiyo alama ya uzalendo na kwamba asiye utaka unyonge ni kibaraka wa mabeberu au ni beberu kuu lenyewe...
  7. Lycaon pictus

    Hekaya: hadithi ya njia ya kukamata mwizi

    HADITHI YA NJIA YA KUKAMATA MWIZI ZAMANI za kale alikuwako mtu mmoja aliyekuwa na rasilmali yake, rupia elfu akazitia ndani ya mfuko akazifungia ndani ya sanduku lake. Hapana mtu aliyejua habari hii ila yeye na mkewe. Siku moja huyu mwenye nyumba ikampata safari ya kuondoka kwenda mbali...
  8. Kichwamoto

    Wanawake Mabonge zaidi ya ubonge wenyewe hawavibe lolote. Sana sana ukubwa wa hekaya la hadith.i

    Vibonge ziii! Hawa vibonge kisa vibration na miujazo wanajibutua huko road ila wakiingia parking hawana vibe Lolote. Namliza mtu weekend hii anakula mlenda hadi kero uvinza kajaa uji kila dakika chumvini huwezi kuzama na ukaibuka. Tuwe makini wala mlenda wana makusudi. Naendelea...
  9. Lycaon pictus

    Ni pm ukihitaji softcopies za vitabu vya Alfu lela ulela, Hekaya za Abunuwasi na vingine vingi.

    Kwa Tsh 2,000 hadi 4,000 utapata softcopies za vitabu hivi. Tunakutumia kwa whatsapp. Tucheki 0715278384 Pia kuna bonasi ya vitabu kama saba. Hardcopy kipo kitabu kimoja cha Tajiri wa Babeli(12,000). List ya vitabu vyote. ORODHA YA VITABU NA BEI 1.Tajiri wa Babeli(Tafsiri ya kitabu The richest...
  10. CK Allan

    Je, wafanyakazi kucheka baada ya Hekaya za miaka 7??

    Kama tujuavyo enzi za Simba wa Yuda nyongeza ya mishahara, kupanda madaraja na marupu rupu mengine ya wafanyakazi yalisimama, Na hata mshahara huu wanaopata watumishi ni ule alioacha Jakaya Mrisho Kikwete.. Kumekua na Hekaya nyingi na ahadi nyingi! Lakini kwa ujasiri MAMA katika mei Mosi ya...
  11. COMOTANG

    HEKAYA ZA ABUNUWASI

    Habari zenu wananjamvi. Mwenye hadithi za kitabu Cha HEKAYA ZA ABUNUWASI naomba atuwekee hapa.
  12. Stevenbee

    #COVID19 Je, COVID-19 ni hadithi tu za hekaya?

    Habari zenu wapendwa natumaini mpo wazima wa Afya, Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu kuhusiano na ugonjwa wa uviko ulioanza mwanzoni mwa 2020 kwa Tanzania. Kwanza ningependa kufafanua kwanini nimeuliza swali la namna hiyo? Naomba tiririka na Mimi katika kisa hiki kifuatacho...
Back
Top Bottom