Sio kila vita unapaswa kupigana, sio kila ushindi huja na furaha, vyote nitakavyopoteza vinaweza kupatikana ukipambana tena.
Anamshukuru Mungu kwa kumpa Adui anayemfahamu ila bado jambo moja tu ampe na Rafiki asiyemfahamu.
Hakuna wa kuchukua nafasi ya mwingine bali majukumu, hakuna wa kuziba...