Hemed Suleiman Abdulla (born 5 April 1973 in Kiwani, Pemba) is a Tanzanian CCM politician and 2nd Vice President of Zanzibar from 2020. He was nominated by the President Hussein Mwinyi to become a member of Zanzibar House of Representatives.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amesema kuwa Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais ipo tayari kutoa ushirikiano kwa Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara nyengine za Muungano ili kuleta ufanisi mzuri wa kazi kwa pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa...