henock inonga

Henock Inonga Baka (born 1 November 1993), sometimes known as Varane, is a Congolese professional footballer who plays as a centre-back for Simba and the DR Congo national team.

View More On Wikipedia.org
  1. Matteo Vargas

    Sitaki kuamini Lameck Lawi ndio anaenda kuchukua nafasi ya Henock Inonga

    Kama usajili wa Lameck Lawi ni kwenda kuziba nafasi ya Henock Inonga basi Simba wame-prove failure, otherwise Lawi ani-prove wrong. PIA SOMA - Henock Inonga Baka ameondoka Simba SC - Hii Dunia ina Vituko sana, eti Lameck Lawi ndiye wa kumkaba PACOME au yupo Mwingine tumsubiri? - Beki Lameck...
  2. H

    Henock Inonga Baka ameondoka Simba SC

    Beki kisiki wa Simba SC na DRC, Henock Inonga Baka ameondoka rasmi Simba SC. Taarifa rasmi itafuata muda mfupi.
  3. GENTAMYCINE

    Simba SC niwaambieni mara ngapi kuwa achaneni na Inonga na Chama kwani wapo zaidi yao kama mkitulia na kuwatafuta

    Yaani natamani Siku nipate bahati ya kukutana na Viongozi wa Simba SC ili niwapige vibao kwa hasira kwani wananikera hadi basi. Niwaambieni mara ngapi nyie Viongozi wa Simba SC na mnielewe? Inonga na Chama ni virusi wakuu ndani ya Wachezaji wa Simba SC kwanini mnawabembeleza hivi ili kuwabakiza...
Back
Top Bottom