Wanabodi
Hii ni C&P ya Barua ya wazi kutoka kwa mwana JF huyu Mwandamizi!.
Sababu ya kuileta Barua hii hapa, ni kuwajulisha wanabodi na Watanzania, kuwa tuna Watanzania wengi ndani na nje ya nchi ambao ni wazalendo wa kweli wa Taifa hili, waliofanya vitendo vya kishujaa, bila kutaka kulipwa...
Inafika kipindi mtu akisikia pikipiki ya TVS au Hero, anachowaza ni zile za bodaboda.
Tunajua mnatoa vyuma vizuri tu kwa bei rafiki, lakini kwanini hamzileti Tanzania?
Mfano hii pikipiki ukiambiwa ni TVS unakataa, na ukaambiwa mpya ni $3,000 tu kabla ya usafiri na kodi.
Kwamba hatuwezi...
Chama cha soka Zanzibar kimemteua Rahma Abdalla Munir kuwa mchuwa Mapaja wa timu ya wanaume yaani Zanzibar heros
Taarifa iliotolewa imesisitiza na Chama hicho kwamba Rahma Abdalla Munir atakuwa ndio mchuwa mapaja wachezaji wa kiume, hii ni haki?
Hakuna madokta wanaume?
Hii inafundisha...
Kwenye movie za Marvel nimeona Villains wa bad wengi sana kama vile Loki , Dr Doom Kang the conqueror na wengine kibao.
Ila hawa wote wachumba tu kwa Thanos, mwamba aliwapa shughuli pevu Avengers mpaka kusababisha Kifo Cha Tonny stak(Iron Man) ni huyu jamaa THANOS mwamba kabisa.
Mchizi...
"Whenever people needs a hero, we shall supply him" ~ Albert like
The best way to control the opposition is to lead it ourselves.” ~ Vladimir Lenin
Order out of chaos and their created Messiah and hero will be. Trump the puppet that ushered this all in as they deceive you with the fall guy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.