heshima kwa wazazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mungu niguse

    Baba yako ndo chanzo chako hivyo ukimkataa lazima ukose baraka

    Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa. Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki. Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka. Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ". Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu...
Back
Top Bottom