MWANANGU
Ukioa jambo la kwanza ili uheshimike kama mwanaume inatakiwa kwanza watu wamheshimu mkeo.
Kama mkeo haheshimiki hapo mtaani kwako, basically wewe ni kitu cha kutupwa.
Tena inawezekana vijana wa hovyo wameshaanza michezo ya kumfunua tupu yake.
Kama wewe unapendeza hivi mwanangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.