Wakuu,
Akiongea na wanawake wa mkoa wa Ruvuma katika kongamano la wanawake wa mkoa huo Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma, Mhe Jacqueline ngonyani Msongozi amesema mwanamke kuwa na kipato sio kigezo cha kumvunjia heshima mume wako ni wajibu wa mwanamke kumuheshimu mwanaume hata kama...
Dunia inaenda kasi sana ,yaani aliyezaliwa 2000 ni baba na wamama ni wengi zaidi,shida siyo umri,ila ni majukumu yanapokuja ikiwa huna kitu.
Nakukumbusha majukumu na hatua za kuchukua kwa nguvu na kwa kulazimisha haswa kwa vijana ambao hawajaoa bado na wana maisha aidha mazuri au bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.