Tanzania imepiga hatua kubwa katika sekta ya afya, hususan katika huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi. Huduma hizi zinahusisha upasuaji wa moyo, upandikizaji figo, upandikizaji uroto, upandikizaji mimba, matibabu ya saratani kwa mionzi, na nyinginezo. Maendeleo haya yanachangiwa na...
akili mnemba
bima ya afya kwa wote
gharama za matibabu
hifadhidata
matibabu ya kibingwa
matokeo chanya
suluhisho
takwimu za afya
tanzania
wizara ya afya