A secondary school describes an institution that provides secondary education and also usually includes the building where this takes place. Some secondary schools provide both lower secondary education (age 12 to 15) and upper secondary education (age 15 to 18) i.e. levels 2 and 3 of the ISCED scale, but these can also be provided in separate schools, as in the American middle and high school system. In the UK, elite public schools typically admit pupils between the ages of 13 and 18. UK state schools accommodate pupils between the ages of 11 to 18.
Secondary schools follow on from primary schools and prepare for vocational or tertiary education. Attendance is usually compulsory for students until age 16. The organisations, buildings, and terminology are more or less unique in each country.
Huu ni ushauri kwa mliomaliza kidato cha 4 (O-Level) mwaka huu na mnafikiria kujiunga na chuo japokuwa mna ufaulu mzuri wa kujiunga A-Level. Kama ni mzazi una mtoto aliyemaliza masomo hayo na ana wazo hili unaweza kumpatia ushauri huu. Natoa ushauri huu from experience na niliyoyaona baada ya...
Kuna mdogo wangu amemaliza high school ameniomba nimu nunulie gari ya kufanya bolt hapa dar es salaam ili aweze kukusanya pesa ya kujilipia ada chuoni ambae kwa jumla anahitajika 8m kwa kila mwaka.
Hiyo biashara siijui na sina uzoefu nao je kuna changamoto ngumu za kumzuia kupata hiyo pesa, pia...
Mheshimiwa waziri wa elimu.
Kama ilivyokawaida kwa kila shule ya bweni lazima pawepo na matron ambaye majukumu yake makuu;
1. Kutunza nidhamu bwenini
2. Usalama wa wasichana na mengineyo.
Shule iliyotajwa hapo juu
Makongoro high school iliyopo Nyamiswa bunda, Mkoa wa Mara, haina matron badala...
Mwanajeshi wa Marine (USA) aliamua kuacha kazi jeshini na kuanza kazi mpya kama mwalimu wa high school, sasa kabla mwaka wa masomo haujaanza aliumia mgongo na akatakiwa avae plaster cast(piopi zile wanazovaa waliovunjika), akafungwa plaster cast iliyozunguka sehemu ya juu ya mwili wake...
UHURU NA KAZI: UANZISHWAJI WA "MTIRO HIGH SCHOOL" KIJIJINI BUSEKERA
Jimbo la Musoma Vijijini limeamua kuongeza idadi ya "High Schools" hasa za masomo ya sayansi kwa kujenga na kuboresha miundombinu ya elimu kwa baadhi ya sekondari zake za Kata.
Idadi ya "High Schools" Jimboni mwetu:
(i)...
Juzi nilipata taarifa kutoka Kwa mwalimu mwenyeji wa shule ya Kondoa girls kuwa kuwa katika shule yao wizi umekithiri sana, mwalimu yule alidai kuwa watu wasiojulikana wanaenda kuiba mbaazi katika shamba la shule na mbaya zaidi watu wale wameanza kutembelea nyumba za waalimu ili kuiba chchote...
ETARO SEKONDARI: MATAYARISHO YA KUANZISHA "HIGH SCHOOL" YENYE SOMO LA SAYANSI YA KOMPYUTA (COMPUTER SCIENCE)
Idadi ya shule ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini:
(i) Shule za Msingi: 120
116 za Serikali na 4 za Binafsi
6 Shule Shikizi mpya zinajengwa
(ii) Shule za Sekondari: 28
26...
Wakuu habari zenu,
Naomba kujua shule za advance za private zenye performance nzuri kwa mchepuo wa PCM hapa Dar ama Mwanza au popote hapa bongo lakni ada yake iwe chini ya 2 Million.
Asanteni sana wakuu
ETARO SEKONDARI YADHAMIRIA KUWA NA "HIGH SCHOOL" YA SOMO LA KOMPYUTA - HARAMBEE JUMAMOSI, 23.12.2023
Tarehe ya Harambee:
Jumamosi, 23.12.2023
Saa 3 asubuhi
Mahali:
Etaro Sekondari
Kijijini Etaro
Akaunti ya Shule:
Benki: NMB Musoma
Akaunti Na: 30301200341
Jina la Akaunti: Etaro Sekondari...
Kiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂
Naunga mkono hoja ya ulimwengu.
Namshukuru Mungu wa rehema.Nawashukuru walimu wangu wa Shule ya Sekondari Makongoro High school wilayani Bunda kunipa maarifa niliyonayo hivi leo.
Hii shule ndiyo iliyonitengenezea nafasi niliyonayo katika Taifa langu ambayo si haba.Namuomba Mungu wa Mbinguni awalinde walimu wangu.Walimu wangu...
Hii barabara ni kero sana tena sana. Mbunge wetu anaishia kutupanga kila mara. Hii barabara isipotengenezwa mpaka 2025 tutaona hakuna tofauti kati ya mbunge huyu aliyepo na yule aliyekuwepo.
Haiwezekani barabara ikawa mbovu kiasi hiki wakati huo sisi tuna mwakilishi. Mzee Magufuli (RIP)...
Wadau hii shule ya kilangalanga wameamua kufuga majambazi.
Juzi tu mwanafunzi mmoja ambae alipewa adhabu na viranja kutokana na tabia yake ya wizi eti ameamua kuwakimbiza watu mabwenini akiwa na panga na kuleta taharuki kubwa shuleni.
Hivi kweli mwalimu mkuu na walimu wengine mpo serious...
Wakuu hamjambo? Kijana wangu kamaliza kidato cha nne 2022, ufaulu wake ni C. C. C ktk comb ya CBG. Natafuta shule yenye unafuu wa karo iliyopo hapa Dar au Pwani. Ukinijuza shule na karo yake utakuwa imenisaidia sana.
Shukran.
Wale wanangu wa Tegeta high school ni Pm nikutumie mahela ila nini nataka nifanye party jangwani sea breeze wale wote wa Tegeta high school na majobless tukutane jangwani sea breeze pale kawe,Tegeta high school 🔥
I wasn’t sure where to file this under. So I just filed it under the most popular sub-forum of Politics.
The JF powers that be can re-file it where it’s more appropriate, if they see fit.
But damn! I’m impressed by these kids. Especially the Nigerian boy.
He debated with so much aplomb that...
Nimeona wamesema Elimu High school itakuwa bure, ni vema na Haki, Lakini hii kuwasaidia watu elfu 70 ambazo wazazi wanaweza kujichanga na kuomba omba wakapata na kule ambapo wanadaiwa mamilioni ya Pesa na kukosa hata mikopo (Kwenye Vyuo) Hawapewi kweli kuna tija?
Kwa kila mzazi kutoa elfu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.