high

High-A (officially Class High-A, formerly known as Class A-Advanced, and sometimes abbreviated "A+" in writing) is the third-highest level of play in Minor League Baseball in the United States and Canada, below Triple-A and Double-A, and above Low-A. There are currently 30 teams classified at the High-A level, one for each team in Major League Baseball, organized into three leagues: High-A East, High-A Central, and High-A West. As part of the 2021 reorganization of the minor leagues, the three current High-A leagues replaced the Carolina League, Midwest League, and Northwest League, respectively, with the Midwest League having previously been a Low-A League and the Northwest League having previously been a short-season league.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Natafuta shule bora za High school (ada chini ya 2 Milioni)

    Wakuu habari zenu, Naomba kujua shule za advance za private zenye performance nzuri kwa mchepuo wa PCM hapa Dar ama Mwanza au popote hapa bongo lakni ada yake iwe chini ya 2 Million. Asanteni sana wakuu
  2. T

    Politics is a strategic minds set- game; upinzani unatakiwa uwe na watu wenye high level ya intelligence na uzoefu wa manipulative strategies

    Yes, politics is a strategic minds set- game; playing around the mind set of the target audience. The strategy is to capitalize on the weakness (udhaifu na ujinga), njaa, shida na manyanyaso ya target audience; hata kama baadhi ya vitu hivyo ni wewe umevisababisha, once you win their mind set...
  3. Private high school ipi ni bora Mwanza kwa masomo ya sayansi?

    Dogo ni mvulana na anataka achukue PCB. High school yenye sifa ya kufaulisha vizuri kila mwaka.
  4. Mbowe amekutana na Balozi wa Uingereza (British High Commissioner) David Concar hii leo kuzungumzia maswala kadhaa ya kuhusu siasa nchini Tanzania

    Katika Ukurasa wa Ubalozi wa Uingereza Tanzania, Umeonyesha Mwenyekiti wa CHADEMA akiwa amafanya mazungumzo na Balozo huyo kuhusu Mambo kadhaa ya Mustakabali wa siasa nchini.. Huu ni muendelezo wa vikao vyake na Mabalozi kadhaa wa.nchi za ulaya na Marekani kabla ya kuenda kwenye Maandamano...
  5. Etaro Sekondari Yadhamiria kuwa na High School ya Somo la Kompyuta - Jimbo la Musoma Vijijini

    ETARO SEKONDARI YADHAMIRIA KUWA NA "HIGH SCHOOL" YA SOMO LA KOMPYUTA - HARAMBEE JUMAMOSI, 23.12.2023 Tarehe ya Harambee: Jumamosi, 23.12.2023 Saa 3 asubuhi Mahali: Etaro Sekondari Kijijini Etaro Akaunti ya Shule: Benki: NMB Musoma Akaunti Na: 30301200341 Jina la Akaunti: Etaro Sekondari...
  6. Kiduku "Kim Jong Un" rais wa Korea Kaskazini umwambii kitu juu ya huyu Nigga, Mmarekani pekee mwenye free Visa ya Korea Kaskazini

    Kutoka nchini Marekani, Dennis Rodman ndiye rafiki pekee wa Bwana Kiduku. Yaani mchizi anaingia Korea Kaskazini muda wowote anaotaka, anakaa na rais na kupiga stori. Yaani mchizi ni mwanaye kishenzi na ndiye aliyempa jina mtoto wa kiduku. Mchizi akiendaga Korea, anapokelewa vizuri, anakula...
  7. E

    High income generating, low investment capital

    Wakuu kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu nimejifanyia analysis kujua kwa nini nina income kidogo ukilinganisha na mahitaji ya kila mwaka. Katika kujifanyia fair anaysis nikapata vikwazo saba, one of them is that I'm not engaged in high income generating activities leave alone lacking regular...
  8. Jenerali Ulimwengu: UDSM imekuwa "Extended High School"

    Kiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂 Naunga mkono hoja ya ulimwengu.
  9. Relationship Manager – Public & High Net Worth at DTB Bank November, 2023

    Position: Relationship Manager – Public & High Net Worth Key Responsibilities: Grow portfolio value in line with agreed targets. This is achieved through cross sell or up sell by providing a variety of products and services to customers. Expand assigned portfolios through product optimization...
  10. R

    Huyu Judge ana high power clear reasoning and analysis producing high-quality judicial decisions. A BOLD JUDGE

    Nimekuwa nikifuatilia hukumu anazotoa judge Matuma. Ni Judge wa haki with higher power of reasoning. Judgment zake zinatokana na use higher mental faculties in dealing with the law, and evidence, common sense governing the case in question! Kizuri kipe haki yake. He is a BOLD JUDGE I DECLARE...
  11. Badala ya kuichoma bhangi yetu, tuichakatie kiwanda cha mkonge. Kuichoma tukiwa high nchi nzima?

    Nishawahi kumtania Mkurya mmoja kwamba: 'Unajua ni kwa nini nyie kwenu (huko ukuryani) mna hasira sana bro? Ni kwa sababu serikali kila mara inawavutisha bangi maana ikikamata na kuchoma mabangi ma tani kwa mahekari basi ule moshi unasambaa mkoa mzima ndo unakuta wote ni kama wavuta bhangi tu...
  12. Makongoro High school Bunda. God bless my school🙏

    Namshukuru Mungu wa rehema.Nawashukuru walimu wangu wa Shule ya Sekondari Makongoro High school wilayani Bunda kunipa maarifa niliyonayo hivi leo. Hii shule ndiyo iliyonitengenezea nafasi niliyonayo katika Taifa langu ambayo si haba.Namuomba Mungu wa Mbinguni awalinde walimu wangu.Walimu wangu...
  13. K

    TANROADS mnatutesa sana barabara ya Mbezi High School kwenda Bunju kupitia Mpigi Magoe

    Hii barabara ni kero sana tena sana. Mbunge wetu anaishia kutupanga kila mara. Hii barabara isipotengenezwa mpaka 2025 tutaona hakuna tofauti kati ya mbunge huyu aliyepo na yule aliyekuwepo. Haiwezekani barabara ikawa mbovu kiasi hiki wakati huo sisi tuna mwakilishi. Mzee Magufuli (RIP)...
  14. M

    Chimbo la mikoba ,nguo za kike na high heels ni lipi?

    Wasalaam wadau, Naomba kufahamishwa chimbo la vitu nilivyoelekezwa hapo juu na mtaji wa kuanzia ikiwezekana. Nahitaji kufungua duka huku DODOMA Ili angalau kamkono kaende kinywan maana changamoto za maisha zinataka mapambano. Nitafurahi mkinipa mwanga ,mtaji, chimbo na hata maelekezo maana...
  15. S

    Kilangalanga high school mnafuga mapanya road au tuwaeleweje?

    Wadau hii shule ya kilangalanga wameamua kufuga majambazi. Juzi tu mwanafunzi mmoja ambae alipewa adhabu na viranja kutokana na tabia yake ya wizi eti ameamua kuwakimbiza watu mabwenini akiwa na panga na kuleta taharuki kubwa shuleni. Hivi kweli mwalimu mkuu na walimu wengine mpo serious...
  16. Niger: Mohamed Bazoum, Rais aliyeondolewa madarakani kushitakiwa kwa Uhaini

    ========== Wanajeshi walionyakua mamlaka nchini Niger katika mapinduzi ya Julai 26 wamesema jana Jumapili jioni kwamba Rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Bazoum anaweza kufunguliwa mashitaka kwa uhaini. Viongozi hao wa mapinduzi wamemfunga Bazoum na kuvunja serikali iliyochaguliwa, kitendo...
  17. R

    Msaada shule nzuri ya High school iliyoko Dar au Pwani yenye karo nafuu comb ya GBG

    Wakuu hamjambo? Kijana wangu kamaliza kidato cha nne 2022, ufaulu wake ni C. C. C ktk comb ya CBG. Natafuta shule yenye unafuu wa karo iliyopo hapa Dar au Pwani. Ukinijuza shule na karo yake utakuwa imenisaidia sana. Shukran.
  18. C

    Nafasi za kidato cha tano 2023/2024

    Yes
  19. T

    Nani alikwambia ukiwa Rais au high level position Kuna mashost na marafiki?

    Kuna watu wanadhani ukiwa kiongozi wakitaifa utaendelea kuwa na mashost na marafiki... If Kuna kiongozi anadhani anaweza kuwa na mashost na marafiki ktk kuwa kiongozi basi anachimba shimo refu ktk uongozi wake? Kama unafikiri unapenda mashost na marafiki acha kuwaza kuwa kiongozi wakitaifa maana...
  20. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

    Dear President Dr. Samia Suluhu, I hope this letter finds you in good health and high spirits. I am writing to bring to your attention a critical issue that affects the future of our country, namely, the high rate of unemployment among high-education graduates. Despite their impressive...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…