hija makka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mdukuzi

    Hijjah ni mpango wa waarabu kupiga hela kupitia utalii, haina uhusiano na kwenda mbinguni siku ya kiyama

    Hija ni moja ya ngozo katika dini ya kiislam. Nguzo nyingine ni shahada, swalat, swaumu na zakat. Tofauti na Sunni, dhehebu la shia katika mafundisho yao hawafundishi shahada kama nguzo ya kiislam, shahada ni kama kukiri kwa kinywa chako kuwa hakuna Mungu mwingine ila Allah na Mohamad ni mtume...
  2. Lupweko

    Raia 14 wa Jordan waripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wakitekeleza Ibada ya Hija

    Takribani raia 14 wa Jordan wameripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wa hija inayoendelea nchini Saudi Arabia. Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudia imethibitisha kuwa vyanzo vya vifo sita ni joto kali linaloendelea nchini humo ambalo kwa sasa linafikia hadi nyuzijoto 48. Joto hilo...
Back
Top Bottom