Kuna nyimbo za Hiphop Bongo nimewahi zisikia mara chache ila ni kali sana
1. Kuna wimbo wa mpenzi bubu. Achana na ile ya Hbaba. Hii ni hiphop mwanzo mwisho na jamaa anaflow vibaya mno japo kuna kauli kalikali. Aliimba nani huu wimbo?
2. Kuna wimbo mashairi yake yanasema, 'Ni hiphop, sikia...