hisabati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Walimu Hisabati na kiingereza wapewa mafunzo Dodoma

    Katibu Tawala Msaidizi wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi mkoani Dodoma, Vincent B. Kayombo, amefungua mafunzo ya siku mbili kwa walimu wa Kiingereza na Hisabati katika wilaya ya Kondoa. Mafunzo haya yameandaliwa kwa ushirikiano na Mradi wa Shule Bora, unaolenga kuboresha elimu nchini. Kayombo...
  2. Serikali yaendelea kutoa mafunzo kwa Walimu wa Sayansi na Hisabati, kupunguza uhaba wa Wataalam

    Mratibu wa Mafunzo Kituo cha Shule ya Sekondari Bagamoyo, Winchslaus Balige akizungumza katika mafunzo hayo. SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imechukua hatua madhubuti kukabiliana na uhaba wa wataalamu wa sayansi nchini kwa kuanzisha mafunzo endelevu kwa walimu wa...
  3. SoC04 Tanzania tuitakayo, bila kilio cha ufaulu hafifu wa somo la hisabati kidato cha 4

    Utangulizi Somo la hisabati (mathematics) ni moja kati ya masomo yaliyoko kwenye mtaala wa masomo Tanzania kwa kidato cha kwanza hadi cha nne. Kutokana na umhimu wake kwa mtu binafsi, jamii na taifa kwa ujumla, somo hili ni msingi kwa kila mwanafunzi katika ngazi hiyo kulisoma na kufanyiwa...
  4. J

    Leo njoeni wa Form 6 hapa tusolve hili.

    Here are 25 math questions suitable for a Form 6 level: 1. Solve for \( x \): \( 2x + 3 = 11 \). 2. What is the area of a rectangle with length 8 cm and width 5 cm? 3. Simplify: \( \frac{12}{16} \). 4. Find the value of \( y \) in the equation \( 3y - 4 = 2y + 5 \). 5. What is the perimeter of...
  5. N

    Nawapongeza Baraza la mitihani(NACTE) kwa kufuta machaguo kwenye mitihani wa hisabati.

    Baraza la Mitihani la Taifa(NECTA) limefanya mabadiliko kwenye mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi kwa kuondoa machaguo ya majibu kwenye somo la hisabati kuanzia mitihani ya mwaka huu. Pia wanatarajia kufanya mabadiliko kama haya kwa ngazi ya sekondari kwenye masomo ya Fizikia, Kiingereza na...
  6. SoC04 Hisabati ndiyo kesho ya watoto wetu na Tanzania yetu

    Kwa dunia ya leo ya ulimwengu wa kidigitali, ni lazima somo la hisabati lipewe kipaumbele kwakuwa ni msingi wa program nyingi za teknolojia ya kisasa. Mifumo mingi ya kidigitali tutanyotumia leo katika shughuli mbalimbali ina chembechembe za hisabati katika utengenezaji wake na utumiaji wake...
  7. Enyi Wagalatia msiohua Hisabati..

    Solve this...
  8. W

    Mwalimu wa hisabati anayefuata kufundisha watoto nyumbani kwao

    Mwalimu mahiri katika somo la hisabati shule za msingi, anafundisha katika shule ya msingi Misitu Kivule ilala dar es salaam ila katika Kipindi hiki cha likizo atakuwa anamfuata mtoto alipo na kumfundisha. Mzazi usimsumbue mtoto kwenda mbali na nyumbani. Huduma hii ni nzuri na ya uhakika...
  9. M

    Tahadhari kwa Wizara ya Elimu; Walimu wa hisabati shule za msingi hawapo

    Uhakika wa uchunguzi uliofanywa ktk shule za mkoa wa Dar es salaam ulio na walimu wengi umeibua chanzo kikubwa cha kufeli kwa wanafunzi somo la hisabati katika matokeo ya mtihani wa taifa kuwa ni uhaba mkubwa Sana wa walimu wa somo la hisabati ambapo walimu karibia wote wanaofundisha somo la...
  10. F

    Walimu wa sekondari wanatafutwa, wa masomo ya Hisabati na Sayansi Biology, physics na Chemistry (Part time)

    Habari wadau. Binafsi ni mmiliki wa app ya kufundisha tution za masomo kwa njia ya mtandao Ninatafuta walimu wenye uwezo mkubwa wa kuelewa na kufundisha masomo ya o level. Na shule ya msingi somo la hisabati. Masomo hayo ni hisabati, physics, chemistry na biology only. Kazi ni part time...
  11. Fun Fact: China yaishinda Marekani na Australia mashindano ya Hisabati Ulaya

    Interesting... Timu ya wanafunzi ya wanawake kutoka China imeweza kuchukua ushindi wa nafasi ya kwanza katika mashindano maarufu ya hisabati ya European Girls Mathematical Olympiad yaliyo fanyika nchini slovenia Mashindano hayo yalihusisha team 55 (38 kutoka mataifa ya ulaya). Nafasi ya...
  12. Ufaulu wa somo la Hesabu kidato cha nne 2022

    Nilisikia kupitia radio one leo asubuhi kuwa, takribani asilimia 70 ya watahiniwa wa kidato cha nne wamepata alama sifuri katika somo la Hesabu? Kama ni kweli, nafikiri hakuna haja ya kutafuta Mchawi kwani tatizo liko wazi kabisa ambalo ni ukosefu wa Waalimu wenye sifa ya kufundisha somo la...
  13. T

    Natafuta Walimu wa hisabati kupitia mtandao wa zoom

    Natafuta walimu wa hisabati kupitia mtandao wa zoom. Wanaoweza kufundisha kuanzia kidato cha kwanza na zaidi
  14. Moshi: Mwalimu wa hisabati jela maisha kwa kulawiti mwanafunzi

    Mahakama ya Rufani imebariki kifungo cha maisha alichohukumiwa mwalimu wa Shule ya Msingi Chomvu iliyopo Wilaya ya Mwanga, Elibariki Mchomvu kwa kulawiti mwanafunzi wake wa kiume mwenye umri wa miaka tisa. Mchomvu, aliyekuwa akifundisha hisabati, alipatikana na hatia kwa mara ya kwanza mwaka...
  15. SoC02 Wazazi/walezi ni suluhisho, ufaulu mdogo somo la Hisabati

    Hisabati ni somo linalohusisha namba, maumbo, mafumbo, uhusiano baina yao pamoja na vipimo mbalimbali (merrium webster). Sehemu kubwa ya somo hili ni namba 0 mpaka 9 ambazo humtaka mwanafunzi kuhudhurisha ubongo na fikra katika kutegua changamoto mbalimbali. Takwimu zinaonesha kumekuwa na ufaulu...
  16. SoC02 Wanafunzi wa mchepuo wa sanaa (Arts) kidato cha tatu na nne wapunguziwe idadi ya mada (topics) katika masomo kama "Biology" na Hisabati (Mathematics)

    Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums. Mimi Infantry Soldier nipo mzima wa afya. UTANGULIZI: MUUNDO WA MFUMO WA ELIMU NCHINI TANZANIA KWA UFUPI. Mfumo wa elimu wa kitaifa kwa hapa Tanzania una ngazi kuu nne. Kwanza miaka saba ya elimu ya msingi ya lazima (kuanzia umri wa miaka sita)...
  17. Walimu wa Hisabati, hii inaweza kutusaidia kufaulisha Wanafunzi na kulipenda somo hili

    Habarini za humu JF Elimu, Leo nimekuja kutoa nami mawazo na mitazamo ni namna gani tunaweza kuwasaidia hawa watoto katika hili somo rahisi kabisa! MAMBO YA MSINGI KWA MWANAFUNZI NA KWA MWALIMU 1. Lugha adhimu ya kiingereza iwe mikononi mwa wanafunzi kwa vyovyote vile hasahasa grammatical and...
  18. Sababu ya wanafunzi wengi kushindwa somo la Hisabati

    Asilimia kubwa ya wanafunzi nchini Tanzania hufanya vibaya SoMo la HISABATI , Jambo linalofanya wengi kuliita tatizo hili gonjwa la taifa . Kuna sababu mbalimbali zinazofanya wanafunzi wengi kushindwa SoMo la HISABATI . Sababu hizo ni Kama ifuatavyo: 1. Ni dhana potofu iliyojijenga katika...
  19. Nafasi ya kazi ualimu wa Chemistry na Mathematics

    Natafuta mwalimu Fresh from school katika somo la Kemia na Mathematics (O-level) awe mbeya mjini na awe na utayari wa kufanya kazi bila kusukumwa na mwenye uwezo wa ku cope na wanafunzi wenye uwezo tofauti tofauti. MAWASILIANO: 0620257513
  20. Janga la Hisabati: Tuanzie Hapa

    Wizara ya Elimu imelitataja somo la Hisabati kama ni Janga la Taifa Tuanzie hapa, najua kuna wakali wa hesabu humu Jamii Forum Tuanzie hapa kutoa msaada wa bure(Tuisheni) ya Hisabati kwa wanafunzi wanaohitaji Kwa wakali wa hisabati: Tupia topic za hesabu na mafundisho yake, pia tafadhali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…