Habari,
Kwa muda mrefu sasa nimejaribu kufahamu na kujua chimbuko na historia ya jina YANGA lakini sijapata jibu.
Pia napata tabu kujua tofauti kati ya Yanga na Young Africans kutumiwa na timu moja katika matukio ya mechi za kitaifa na kimataifa.
Basi kwa faida yangu nitafurahi kujua zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.