historia ya maisha yangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tukio lililonihuzunisha sana nilipokuwa mdogo miaka ya 90

    Hadithi hii nikiikumbuka natokwa na machozi, hadithi ya kweli ilitokea huko mkoani Tanga. Wakati nikiwa mdogo mwanzoni mwa miaka ya tisini, nilikuwa nikiishi kwa wazazi wangu waliokuwa wafanyakazi wa serikalini nilikuwa na dada zangu na wadogo zangu kadhaa, huko mkoa wa Tanga vijijini. Maisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…