hitilafu ya sgr

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwanini ikitokea delay au hitilafu kwenye SGR huwa haitolewi taarifa kwenye vituo na treni husika?

    Habari wana jamii forum. Kwa nini pindi inapotokea hitilafu katika treni ya SGR huwa ni vigumu kwa TRC kutoa taarifa kama wafanyavyo mashirika ya ndege. Unakuta treni ilitakiwa kufika kituo fulani muda fulani lakini inachelewa zaidi ya nusu saa au saa nzima lakini taarifa haitolewi vituoni...
  2. Hii ni hujuma na hawa ni wahujumu uchumi kabisa. Serikali ifumbue macho hatujui baada ya hapa watafanya nini

    Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja. Ila naona awamu hii wamefika mbali sana. Wameanza kuhujumu Train yetu nzuri ya kizazaa ya SGR. NDIYO WAMEANZA UHUJUMU WA MIUNDO...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…