Hello habari zenu kuna dada anatafuta mchumba HIV positive
Sifa zake
Muislam very religious
Umri 23
Mahali alipo mtwara
Vigezo vyake
Awe muislam
Asizidi miaka 40+
Kama utakua interested unaweza kunifata PM nikakupa mawasiliano nae
Mimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili.
Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa.
Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV Positive kama mimi ili tutengeneze familia, upweke unachosha.
Karibu PM.
Kwa nini wanawake ni vulnerable sana na HIV kuliko wanaume.
Kwanza nimeshangaa sana inawezekana hizi takwimu siyo sahihi kabisa. Mimi annunaki nafikiria Kati ya wanawake 10 basi 8 Wana waya. Hasa kwa jiji la Dar es salaam ambalo ni jehanamu ya Tanzania.
Vijana wote wa kike na kiume, chukueni...
Tuendelee kuwa na Tahadhari na Tusiojua afya zetu tukapime
NB: Kwanini positive results must be cofemd with uniGold & why not negative Result
Tuliokuwa nao tuwalinde Wengine na tuzingatie masharti.
Human immunodeficiency viruses (HIV) are two species of Lentivirus (a retrovirus subtype) that infect humans. They cause acquired immunodeficiency syndrome (AIDS), a condition in which the immune system steadily deteriorates, allowing life-threatening opportunistic infections and cancers to...
Ninajitokeza hapa nina nia ya dhati na kweli kutoka moyoni nimejitokeza hapa natafuta mke wa maisha mwenye HIV Positive, siitaji mpenzi naitaji mke!
Napatikana Dar es Salaam, nina miaka 52, maji ya kunde, urefu futi tano inchi saba, slim body.
Mke ninayemuitaji awe HIV Positive! Awe mweupe...
First, let me declare kwamba mimi ni member wa muda mrefu humu JamiiForums na nimependa kuja nah hii ID mpya ili kuweza kuficha utambulisho wangu wa hapo mwanzo, ili kuepeuka mambo kadhaa kutoka kwa member ambao nimebahatika kuonana/kukutana nao.
Naitwa Priscallia (si jina langu halisi) na umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.