Baada ya kugundua kila ninapojadiliana na mtu kwa simu a u meseji kuhusu masuala ya kutumiana pesa, ghafla natumiwa meseji za “hiyo pesa tuma kwenye namba hii”, napendekeza hili
TCRA watunge kanuni zifuatazo za kisheria
1.) Iwe ni sharti la kisheria kwa kila mteja anayetumiwa meseji za “hiyo...