hizbollah

  1. econonist

    Miili ya wanajeshi wa Hizbollah yaanza kuzikwa

    Baada ya cease fire kutngazwa, miili ya wapiganaji wa Hisbollah imeanza kufukuliwa na kukabidhiwa kwa wanafamilia kwaajili ya kuzikwa. Miili msingi ya wanajeshi ilifikiwa kwenye makaburi ya halaiki kwani kutokana na mashambulizi ya Israel wasingeweza kukabidhi miili hiyo kwa familia za wahusika...
  2. Satirical Yet Awesome

    Hizbollah waomba Ceasefire

    BREAKING 🚨🚨 Hezbollah’s Desperation: Unconditional Ceasefire Plea Naim Kassem, Nasrallah’s former deputy, admitted Hezbollah’s military distress by calling for an unconditional ceasefire. He demanded Israel halt its fire first, with details to be discussed later, a move Israel may resist. "We...
  3. Gol D Roger

    Kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Hizbollah ni kama kupewa death sentence

    🚨Lebanese media: Hezbollah member "Ibrahim Amin Al-Sayyed" refuses to assume leadership of the party; and requests to travel to Tehran in order to devote himself to worship in Iran. Why does no one agree to be the Secretary-General of Hezbollah? This is why? Head of Hezbollah Hashem safi al...
  4. Nyani Ngabu

    Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

    Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country. Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa...
  5. Championship

    Hawa ndio Hizbollah waliokuwa wanasifiwa kwa ile vita ya 2006?

    Kila mwaka tulipokuwa tunaandika juu ya umahiri wa Israel tuliambiwa kiboko yake ni Hizbollah na kwamba wayahudi walipigwa mwaka 2006. Sasa miaka 18 baadae ndio hawa waliokuwa wanasifiwa? Ninaona wakati ule Israel iliwaachia wakajiona wako vizuri lakini safari hii wayahudi wameona wamalize...
Back
Top Bottom