Kila uchwao nimekuwa mtu wa kuwaza Kuhusu siku ya harusi yangu. ( Walio olewa watakuwa wananielewa)
yani Kuna Hali Fulani hivi unakuwa nayo, furaha iliyochanganyikana na hofu.
Mfano Mimi nawaza nitawaangaliaje watu siku ya send-off, na harusi na siku ya chai Nawaza nivae nguo gani yani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.