hoja dhaifu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LIKUD

    "Kayumba hazifai kwa sababu zina watoto wengi" ni hoja dhaifu inayothibitisha uelewa mdogo wa Watanzania kuhusu saikolojia ya watoto

    Utamsikia mtanzania anaziponda shule za Kayumba akisema " Shule za Kayumba hazifai kwa sababu kuna watoto wengi sana" Nabaki najiuliza hivi huyu mzazi ana fahamu chochote kuhusu saikolojia ya watoto? Anafahamu kuhusu umuhimu wa stage ya kimaisha ya mtoto iitwayo" Childhood"?. Anyway...
Back
Top Bottom