hoja ya mbunge ndaisaba ruhoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro: Mfanyabiashara wa soko la sukari anauza kilo moja kwa Tsh. 10,000. Hatuwezi kukubali Wananchi wetu kuteseka

    "Sukari ni chakula, watanzania wa hali ya chini wanategemea Sukari kuweza kunywa Chai. Suala la Sukari ni suala la Usalama wa Nchi kwasababu chakula ni suala la kiusalama ndani ya Taifa. Hatutakiwi Kufanya Mchezo na Suala Linalogusa Usalama wa Nchi" - Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo...
  2. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro Alilia Serikali Bei ya Mahindi

    Mbunge wa Jimbo la Ngara Mkoani Kagera, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro ameiomba serikali kupitia wizara ya kilimo kunusuru zao la Mahindi ambalo bei yake inashuka siku hadi siku. Mhe. Ndaisaba ametoa kauli hiyo baada ya wananchi kuibua kero hiyo kwenye mkutano wa hadhara alioufanya Kata ya Ngara...
Back
Top Bottom