Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.
Moja Kwa moja, mimi sio mwanaharakati na sitaki kujihusisha.
Pamoja na hayo nikipata nafasi ya kuwasikiliza Hawa jamaa ni kama hawana mwelekeo wala mpango wowote.
Ukiwasikiliza sana utasikia vijembe na matusi pekee dhidi ya serikali na...