hoja zenye mashiko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Morning_star

    Nani mwingine mwenye hoja zenye mashiko za kuwajali wanyonge Tanzania aje hapa???

    Kwa wenye umri kama wangu na kunizidini, kwa hoja hii Tanzania tukimuondoa kwanza Mwalimu Nyerere alafu tuwaangalie marais waliorithi kiti chake. Ni Rais yupi aliwapelekea watanzania kwa mamillion yao umeme wa bure vijijini ndani ndani na viunga vya miji katika kaya zilizosahaulika ambazo...
  2. J

    RC Mtaka awataka Wakuu wa Wilaya kuifuatilia Mikutano ya CHADEMA na kuzifanyia kazi hoja zao kama zina mashiko!

    Mkuu wa mkoa wa Njombe Mh. Anthony Mtaka amewataka Wakuu wa Wilaya kuifuatilia Mikutano ya vyama vya Upinzani na kusikiliza wanachoongea. Zile hoja za msingi zichukueni mkazifanyie Kazi msiwachukie, amesisitiza Mtaka. Source: Jambo TV Njombe
Back
Top Bottom