Katiba ndio kitu kinachoweka muongozo wa nchi na jinsi ya watu kuhusiana katika taifa, kwa umuhimu huo serikali itenge siku maalumu(public holiday) ya kuadhimisha na kusheherekea katiba ya nchi yetu(constitutional day) kukuza uzalendo na utaifa wa taifa. Ni muhumu siku hiyo ikawa katikati ya...
🚗🌴 Which city or country have you visited that you would highly recommend for a relaxing holiday or vacation getaway?
What made it special - was it the food, culture, stunning beaches, vibrant nightlife, or breathtaking nature?
If it was a big city, which area or neighborhood did you stay...
Wakuu,
Kusema watumishi wa umma wafanyie kazi nyumbani huku sekta nyingine zinafanya kazi kama kawaida ndio mmepunguza nini?
Kwanza tunajua serikali hainaga utaratibu wa ku-work from home. Hiyo ni holiday ya moja kwa moja. Akifunga vitu ijumaa atakuja kuendelea jtatu pale alipoishia.
Lengo la...
Tanzanian Bongo Flava superstar Diamond Platnumz has fans buzzing with anticipation following the announcement of a remix for his hit song "Holiday," featuring American rapper Rick Ross. The collaboration is expected to fuse Diamond's signature Afrobeat sound with Rick Ross's distinctive hip-hop...
Ningependa kuchukua nafasi hii kuwatakia heri ya krismas na mwaka mpya. Mwaka huu ulikuwa mwaka niliojifunza mengi pia watu wa jf ni watu wema sana wengio wao wamenifundisha vitu vingii sana sina mengi ya kuelezea ila mungu awabariki na muwe na sikukuu njema pia tuombe uzima kuvuka mwaka
All phones are available
Top up and Exchange allowed.
Mnunulie simu nzuri kutoka kwetu Mpenzi, rafiki, ndugu, baba, mama, shangazi au mjomba. Ni mwezi wa zawadi usikae kinyonge. Tumewashushia bei za bidhaa zetu changamkia fursa hyo.
Wakuu..
Katika kipindi hiki cha mwezi December watanzania wengi wanakuwa katika hekaheka za kusafiri sehemu tofauti wakifurahia maisha baada ya miezi 11 ya purukushani za kutafuta riziki.
Wewe mwana-jamiiforum umejiandaaje na safari za mwisho wa mwaka? Mimi nilijiandaa Toka mwezi January...
Guess what? This holiday season comes with some fantastic news! Now, you can grab the smartphones on credit without any interest and it's super easy! Companies like TECNO Tanzania are making it possible for you.
These CAMON 20 phones are well-known for their awesome quality and top-notch camera...
Chorus Kali sana na melody imetulia ila amezingua kwenye mashairi ya kitoto hajayapangilia,nadhani hakua serious na hii ngoma,
angetuliza kichwa hii ngoma inebamba zaidi ya hapa sababu inaendana na sana na msimu huu wa sikukuu.
Kama anaweza mwanetu angefanya remix na kuweka mashairi kwenye...
I found this interesting article on google.
Tanzania and especially nothern Tanzania might be a very special destination as far as politics,science and many more are concerned.
---
The appeal from Arusha in Northern Tanzania where the iconic Mount Kilimanjaro sits is something Russia wants...
Nyerere kafariki miaka zaidi ya 20 iliyopita ila kutokana na Nyerere day kuwa ni siku ya mapumziko Leo hii mwanafunzi wa darasa la tatu anajua Nyerere alikuwa nani, hii ni kutokana na Nyerere day tu kuwa siku ya mapumziko
Kwanini isiwe hivyo kwa Mkapa, ikawa hivyo kwa Magufuli lengo kutunza...
A dad who took his family on a skiing holiday to his native Ukraine has spoken of his fears that he could be drafted into the army to fight against the Russians
Tymofii Dmytrenko, 39, went with his wife and two children for the skiing trip, but claims he has now been put on standby to fight...
Shule zinakaribia kufungwa. Hii maana yake ni nini? Maana yake walimu wamefanya kazi wakamaliza syllabus wamefunzidha vizuri. Wanafunzi mwamesoma vizuri na wamesimamiwa vizuri.
Sasa wanaenda kupumzika kwa mwezi mzima. Ratiba ya shule imeisha inaanza ratiba nyingine ya nyumbani. Mtoto anahitaji...
Hivi hii sikukuu ya Maulid sio muhimu kama ile ya Idd?
Mbona naona huku mtaani kumtoa utadhani hakuna sikukuu?
Shamrasha za hii sikukuu mbona siziona japo leo ni Public Holiday?
Halafu kuna Waislamu hii sikukuu hawaitambui?
Kwenye kalenda leo ilikuwa inaonekana ni sikukuu ya Maulid, ila kuna...
Respect yourself this holiday
If you dont know English just type "HAPPY EASTER"
We dont want see the post like
'HE AROUSED' ,
' HE AROUSEN',
'HE HAS RICED'
'HE ROASTED FROM THE DEAD'
🤣🙆♂️
Some one even wrote
'HE HAS RESIGNED'
The worst are those who post
'HAPPY ESTHER'
🤣🤣🤣
Kenya seeks G20 $298m debt holiday extension
Kenya may receive additional debt relief from the Paris Club of international creditors to help ease Covid-19 related financial distresses.
The country has already received Ksh32.9 billion (about $298.6 million) loan repayment break which it would...
Kesho ni tarehe 5, na ni siku ya kuapishwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hivi itakuwa ni siku ya mapumziko Kitaifa (Public Holiday) au shughuli zinaendelea kama kawaida?
Ninahitaji kujua kwa anayefahamu tafadhali.
Tujuzane machache soko la utalii tunalionaje, kuanzia miaka ya nyuma na hivi sasa hususani ukuaji, maeneo yanayokua, changamoto, muamko wa wazawa (Watanzania) na hata ongezeko la watalii kutoka nje ya nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.