Ugonjwa wa homa ya manjano (Yellow fever) husababishwa na vimelea vya virusi kutoka genus (jinasi) ya Flavivirus ambao huenezwa na Mbu.
Mbu hao hupatikana kwa wingi katika sehemu za ukanda wa Joto, barani Afrika na Amerika ya Kusini.
DALILI
Dalili za ugonjwa huanza kuonekana kati ya siku 3...