Honey is a sweet, viscous food substance made by honey bees and some related insects, such as stingless bees. Bees produce honey from the sugary secretions of plants (floral nectar) or from secretions of other insects (such as honeydew), by regurgitation, enzymatic activity, and water evaporation. Honey bees store honey in wax structures called honeycombs, whereas stingless bees store honey in pots made of wax and resin. The variety of honey produced by honey bees (the genus Apis) is the best-known, due to its worldwide commercial production and human consumption. Honey is collected from wild bee colonies, or from hives of domesticated bees, a practice known as beekeeping or apiculture (meliponiculture in the case of stingless bees).
Honey gets its sweetness from the monosaccharides fructose and glucose, and has about the same relative sweetness as sucrose (table sugar). Fifteen millilitres (1 US tablespoon) of honey provides around 190 kilojoules (46 kilocalories) of food energy. It has attractive chemical properties for baking and a distinctive flavor when used as a sweetener. Most microorganisms do not grow in honey, so sealed honey does not spoil, even after thousands of years.
Honey use and production have a long and varied history as an ancient activity. Several cave paintings in Cuevas de la Araña in Spain depict humans foraging for honey at least 8,000 years ago. Large-scale meliponiculture has been practiced by the Mayans since pre-Columbian times.
Wakuu
Baada ya kuwa busy na shughuli ya ndoa tangu Ijumaa baada ya mechi na KMC, Aziz Ki ameanza kwenye kikosi cha Yanga leo kinachoshuka Dimbani saa kumi jioni dhidi ya Singida Big Stars.
Swali la kujiuliza ni muda gani amepata maandalizi kamilifu? Je, Kocha Miloud Hamdi hawaamini wachezaji...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameishauri Serikali kuwarejesha kazini Walimu wakuu wa Shule za Msingi zilizopo Tunduma Mkoani Songwe waliovuliwa vyeo baada ya kusambaa kwa video ikiwaonesha Wanafunzi wakicheza wimbo wa Msanii Zuchu uitwao ‘Honey’.
Spika...
Kuna wakati na nyakati, msanii wa mziki haishi mbinguni na hawakilishi malaika, Waziri Mkenda ni mshamba sana narudia ni mshamba sana.
Wimbo wa Zuchu content yake ni ya kitanzania na huu wimbo una kiswahili cha kificho ama tafsida.
Ni aibu sana kuwa na Waziri mkurupuko na mshamba kama Mkenda...
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.
Amesema hayo nje ya Bunge...
Kinachotokea 254 kwa sasa ni ishara na lama tosha ya kuonesha uimara wa upinzani nchini Kenya. Lakini uimara huu haukuja hivihivi , ulikuja kwa gharama, jasho na maumivu.
Raila licha ya ndoto zake za kuukwaa uraisi pamoja na kuwa anaongoza ngome yabupinzani yenye nguvu kabisa huko KE kuliko...
Kadu Bee Honey wauzaji wa asali bora na mbichi kutoka Singida, tupo Dar es salaam, delivery tunafanya popote ndani na nje ya nchi. Karibuni sana. +255657844098.
Hawa wanawake zetu wana changamoto sana. Ukiwa around anajifanya hana time na wewe.
Since last month nimesafiri niko mbali na home. Sasa hivi anaijikosha hatari,kila siku usiku ananitumia hiyo text ya good night honey.na mimi kwa dharau huwa simjibu.
Hivi huwa wana nini hawa?
Ndugu zanguni wa JF baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na hulka yangu hi.
Nimeka na mke wangu sasa takribani miaka 11 baada ya ndoa ya kwanza kushindikana, huyu mke wangu nyumbani huniita hny jina ambalo na lichukulia kuwa la utani na upendo na c mind sana na mimi humiita my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.