hospitali iringa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Hospitali ya Rufaa Iringa yasema “Hatulipishi Huduma ya Vyoo, anayefanya hivyo ni mtu binafsi”

    Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai Hospitali ya Rufaa ya Iringa inalipisha Huduma ya Vyoo, Afisa Habari wa Taasisi hiyo, Zainab Mlimbila amesema wana Huduma ya Vyoo kwa ajili ya Wagonjwa waliolazwa na vipo vya Wagonjwa wa Nje na watu wengine na kuwa vyote ni bure. Kusoma hoja ya Mdau bofya...
  2. Vincenzo Jr

    KERO Hospitali ya Serikali kwanini inakuwa na huduma ya choo ya kulipia?

    Ni Iringa hapa, tena Regional Referral Hospital, nimeshangaa sana au ndio yale mambo ya Halmashauri hayo, miradi inajengwa kwa fedha zetu ila unalipia tena kuitumia. Inasikitisha sana yaani hii nchi imelaaniwa sana. Halmashauri zina mambo mengi sana ya kienyeji. Kusoma majibu ya hospitali...
Back
Top Bottom