Wakuu,
Hawa waajiriwa wapya wa maweni wote hawajalipwa hela za kujikimu. Na ukiangalia intake yako hospitali zingine zote wamelipwa.
Ndo kusema ukiwa Kigoma kila kitu kigumu hadi stahiki muhimu kama hii.
AFU MLALAMIKE STAFF HAWAKAI KWELI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.