aada ya Wanachama wa JamiiForums.com kuandika hoja zinazoitaja Hospitali ya Muhimbili - Mlonganzila kuwa na gharama kubwa na changamoto nyingine za kiutendaji, taasisi hiyo imetoa ufafanuzi. Kusoka hoja za Wadau bofya hapa chini:
~ DOKEZO: Serikali iimulike hospitali ya Mloganzila, Huduma zake...
Mara ya kwanza kufika Mloganzila nilimpigia simu rafiki yangu waziri Makamba apeleke salam zangu kwa Rais mstaafu JK
Unaweza kusema ni Hotel ya nyota tano kwa jinsi ilivyojengwa, jengo la kisasa, garden nzuri, parking kubwa, mazingira masafi ukiambiwa hapa ni Kibamba utakataa.
Behind every...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.