hospitali ya peramiho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Watumishi wa Afya Hospitali ya rufaa Peramiho hawajalipwa mishahara mwezi Septemba

    Watumishi wa Afya akiwemo Daktari Mbobevu, Maafisa Wauguzi na Wateknolojia wa Maabara wanaidai Hospital ya Rufaa Peramiho iliyopo mkoani Ruvuma mishahara yao ya mwezi Septemba. Kama chombo cha habari Tunaomba kusaidia kupaza sauti na kulifuatilia hili kabla watumishi hawa hawajaleta athari kwa...
  2. A

    DOKEZO Hospitali ya St. Joseph Peramiho haitaki kuwalipa wafanyakazi mishahara yao kwa madai kuomba ajira Serikalini bila ridhaa yao

    Wafanyakazi wa Hospitali ya Mtakatifu Joseph Peramiho iliyopo Songea mkoani Ruvuma wakiwemo wauguzi na wafamasia wametishia kuishtaki hospitali hiyo kwa madai ya kutokulipwa mishahara yao ya mwezi mmoja. Hii inatokana na Hospitali hiyo kudai kuyaona majina ya maombi ya ajira za Serikali...
Back
Top Bottom