Siku ya leo 17/03/2023
Kuna ajali imetokea asubuhi ya leo ambayo imesababisha majeruhi wawili, majeruhi hao walipata huduma ya kwanza kwenye Zahanati ya Kigamboni na baadae tupewa rufaa kwenda Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Temeke.
Baada ya kupokelewa ukawa na changamoto ya Umeme ambapo hata...