hospitali ya temeke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafuta ya Kula yaliyoathiri Wakazi wa Yombo Dovya (Temeke) yadhibitiwe yasisambae zaidi na Je, waathirika hawasaidiwi?

    Hivi karibuni iliripotiwa taarifa ya zaidi ya Wakazi 200 wa Mtaa wa Yombo Dovya, Wilayani Temeke kuathirika kwa kubabuka ngozi, kuumwa macho na wengine kupata changamoto ya mikono katika maeneo mbalimbali mwilini baada ya kudaiwa kutumia mafuta ya kula yanayodaiwa kuwa na sumu. Ilielezwa kuwa...
  2. Wagonjwa wanateseka hospitali ya Temeke

    Siku ya leo 17/03/2023 Kuna ajali imetokea asubuhi ya leo ambayo imesababisha majeruhi wawili, majeruhi hao walipata huduma ya kwanza kwenye Zahanati ya Kigamboni na baadae tupewa rufaa kwenda Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Temeke. Baada ya kupokelewa ukawa na changamoto ya Umeme ambapo hata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…