Mzuka wanajamvi!
Houseboy wa Mhamasishaji, mchekeshaji, mwandishi wa habari na msomi mashuhuri nchini DC Mwijaku anayeitwa Mathias ndiye Houseboy pekee anayeongoza kwa maisha bora Tanzania.
Kajengewa kabisa kaghorofa severnt quarter pembeni ya jumba la 1.3 billion.
Anaishi utadhani siyo...