Kauli ya Trump baada ya kurejea White House
Rais wa Marekani, Donald Trump ameruhusiwa kurejea ikulu ya Marekani, White House, hapo siku ya Jumatatu baada ya kulazwa katika hospitali ya kijeshi ya Walter Reeds nje kidogo ya Washington DC, akipokea matibabu kutokana na kupatikana na maambukizi ya...