huduma kwa wateja nhif

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO Baadhi ya Watumishi wa NHIF Kibaha wajitafakari, hawana customer care nzuri kwa Wateja

    Baadhi ya Watumishi wa NHIF Kibaha Mkoani Pwani huduma zao sio nzuri, pia lugha zao pia sio rafiki kwa wateja, nimeshuhudia hali hiyo mara kadhaa na Wateja wengi wamekuwa wakilalamika. Mfano kuna mtu aliambiwa na mtumishi mmoja wa hapo “Wewe chizi nini! Kwani umezaa na baba yako...?” Kisa...
  2. A

    KERO Namba ya msaada 199 tuliyopewa na NHIF haipatikani

    Wadau tusaidieni tuko mkoani tunataka kupiga simu NHIF, walitupatia namba ya msaada 199 ila tukipiga hiyo namba ya msaada haipatikani kabisa. Watusaidie hata namba nyingine basi ya msaada kama hiyo namba hawaitumii.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…