WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA: ANZENI KUTOA HUDUMA KUPITIA VITUO VYA HUDUMA PAMOJA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za Serikali ambazo haziajaanza kutoa huduma kupitia vituo vya huduma pamoja vya Shirika la Posta Tanzania zijipange na zihakikishe zinaanza kutoa huduma katika...
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa anazindua Vituo vya Huduma Pamoja vya Shirika la Posta, Jijini Dar es Salaam.
Vidokezo:
1. Tutaanza na vituo 10 nchi nzima. Tumeanza na Dsm na Dodoma.
2. Vitapunguza muda wa kupata huduma kutoka wiki 4 hadi siku 3.
---
MAJALIWA AZITAKA TAASISI ZA...
DKT. NDUGULILE AKAGUA MAANDALIZI YA UZINDUZI WA HUDUMA PAMOJA
* Waziri Mkuu Majaliwa kuwa Mgeni Rasmi, Septemba 6
Na Prisca Ulomi, Rachel Kitinya ná Loema Joseph
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile, amekagua maandalizi ya uzinduzi wa Huduma Pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.