huduma ya afya tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    KERO Madaktari mnapotoa appointment mgonjwa afike muda fulani nanyi pia muwe mnawahi, inakera mgonjwa anawahi daktari anafika masaa 3 baadaye

    Wakuu salama? Hii imekuwa kero sugu hospitalini hasa upande wa serikali. Mgonjwa unaenda na shida zako dokta anakupa miadi ya kurudi siku fulani, au unanga appointment kwaajili ya mgonjwa wako na kupewa siku na muda fulani kwaajili ya huduma hiyo, siku inafika udamka mapema na unafika dk kadhaa...
  2. The Palm Beach

    Mwananchi aliyefiwa mtoto wake Muhimbili adaiwa kutakiwa kulipia Tsh. 10,695,000 ili kuikomboa maiti

    Nisiseme mengi, mimi nimeleta humu Ili kuibua mjadala wa Sera ya Afya ya CCM na makandokando yake katika sekta na huduma za kiafya hapa nchini. Hayo chini ndio maelezo ya ushuhuda wake aliyotuma kwa wanagrupu wenzake kule WhatsApp ili wamsaidie kumchangia pesa aweze kugomboa maiti wake ili...
  3. under timer

    KERO Upasuaji kwa wajawazito imekuwa kama lazima, ni kero kubwa

    Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu. Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu sawa., kwa kuwa mnapata posho na uzoefu pia ila madhara ni makubwa kwa wamama majumbani kwao...
Back
Top Bottom