huduma ya chakula

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Mgahawa wa Adams Mikocheni msipojirekebisha mtafirisika kwa huduma mbovu

    Wakuu, Hata nguvu ya kutoa salam leo sina! Nikaona tangazo huko Instagram mgahawa umepambwa, vyakula vinavutia, wakisema kuna bufee ambalo haliishi chakula mpaka saa nne. Nikajibeba na swaum yangu huyoo, foleni leo ilikuwa si ya kitoto njia ya chini huku Mbezi, hadi nimefika ni saa mbili...
  2. Mkurugenzi TRC asema Treni ya SGR, NO abiria kubeba vyakula, NO mafurushi makubwa

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema kuwa wameweka utaratibu kwa abira watakaosafiri na treni ya umeme kwamba hawataruhusu mtu asafiri na mizigo mikubwa au chakula kama ilivyo kwenye treni ya MGR, kwamba lengo la kufanya hivyo ni kutunza mazingira ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…