huduma ya internet

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ambivert88

    Airtel huduma ya INTERNET imepatwa na nini? Mboni hali hii haikua hivi imekuaje?

    Wakuu. Nimewaita mara moja, mimi ni mdau mzuri wa mitandao ya Simu hususani mtandao pendwa wa Airtel ila kwa siku za hivi karibu mtandao wa Airtel umekua na sintofahamu hususani kwenye upande wa Internet, nataka kuwauliza wahusika kimetokea nini? Mtandao wa Airtel umekua mziiiiiiiiiito...
  2. Kangosha

    Hongereni TTCL kwa kuboresha huduma ya Internet

    Tangu wiki iliyopita naona huduma za internet kwa TTCL zimeboreshwa Sana. Yaani mtandao upo faster isivyo kawaida. Hongereni TTCL.
  3. G

    Nje ya bando, huduma zipi za online huwa unalipia?

    Muhimu: usiweke porn Ukitaka ku enjoy zaidi lipia, vya bure vingi vina vikwazo, vimechuja, havina quality, n.k. Netflix - 10,000, hii ni bei ya vishoka, bei halisi ni 20K. A sports HD - 2,000, match za Tz, Caf, Epl, Uefa, n.k. Alldebrid - 9,000 - kustream na kushusha torrents moja kwa moja
  4. Cute Wife

    Waziri Nape: Huduma ya Internet imerejea kwa 94%

    Kwenye ukurasa wake wa X (Twiiter) Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Ndg. Nape Nnauye amesema huduma za internet zimerejea kwa 94% na sasa wanafanya jitihada huduma hiyo irejee kwa 100% "Kazi Inaendelea vizuri. Mpaka mchana wa leo Tarehe 15/5/2024, Huduma za Internet...
  5. Vincenzo Jr

    Mtandao wa tiGO waleta huduma ya internet fiber

    📣Tumekuletea Fiber to Home: intaneti ya uhakika, isiyo na kikomo na yenye kasi zaidi Tanzania.💫 Huduma hii mpya kutoka #Tigo, inakuwezesha kuunganisha nyumba, biashara, shule, chuo, ofisi yako na intaneti ya uhakika bila kikomo na kukufungulia ulimwengu wa Kidigitali🌍 kwa gharama ya kuanzia Tsh...
  6. G

    Elon Musk kuleta Intaneti ni tishio kwa mitandao ya simu, atapora wateja wenye matumizi makubwa na kuteka soko sehemu ambazo network inasumbua

    Bei ya vifaa vyote na kuwekewa ni shilingi laki 9. kifurushi kinadumu kwa mwezi, nadhani anapanga bei kwa kuangalia uchumi wa nchi, Marekani ni 230,000/= , Nigeria ni 98,000, Hapa Kwetu si ajabu ikawa 70,000. Ni internet ya kisasa, Speed yake ni kubwa sana, unaweza kushusha file la gb 1 speed...
  7. JanguKamaJangu

    TANGA: Chuo cha Ualimu hakina huduma ya Internet

    Chuo cha Ualimu Korogwe Mkoani Tanga, pamoja na kutoa mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), lakini chuo hicho hakina huduma ya internet, hivyo kuwafanya wanafunzi wanaojitunza kozi hiyo kuwa ngumu wakati wa kufanya mafunzo ya vitendo. Lakini pia, pamoja na Serikali kujenga...
  8. Elieza Msuya

    Furahia huduma ya internet (Ateb technology)

    Habari ndugu..!! Karibu Katika kampuni pendwa ambayo imekuwa ikitoa huduma ya internet majumbani pamoja na offisini kwa bei Nafuu kabisa. Ateb technology tunatoa internet yenye spend na kasi ya Hali ya juu ambayo itakuwezesha ku browse na kutumia electronic device Kama kompyuta simu na camera...
Back
Top Bottom