Naomba Serikali iangalie kuna changamoto katika kivuko cha Busisi - Kigongo ambapo kuna vivuko vitatu yaani MV Mwanza, MV Misungwi na MV Sengerema lakini kwa sasa kivuko kinachofanya kazi ni kimoja tu vingine vibovu.
Hali hii inasababisha foleni kubwa sana ya magari ambapo athari yake ni...