huduma ya maji dar

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Pre GE2025 Trilioni 1.9 zinatajwa kuboresha huduma ya maji Dar, Pwani kwa miaka 4, vipi hali ya upatikanaji mtaani kwako?

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa kushirikiana na Serikali imefanikiwa kuwekeza katika utekelezaji wa miradi ya majisafi yenye thamani ya Trilioni 1.19 kwa kipindi cha miaka 4 ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Akiwasilisha taarifa ya mafanikio ya...
  2. Superleta

    KERO Wananchi Kibangu mtaa wa Kajima jimbo la Ubungo hatuna maji mwezi wa tatu sasa

    Ubungo kuna shida ya maji sio poa Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, maeneo mengi ya Mbezi Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi...
  3. N

    DAWASA njooni Kimara Korogwe mnusuru maji, siku ya 5 leo yanamwagika

    Kuna bomba lipo Kimara Korogwe, uelekeo wa Mji mpya karibu na daraja (Njia ya kuelekea Kam College) limepasuka siku ya 5 sasa. Jitihada za wananchi kuliziba zimegonga mwamba kutokana na wingi wa maji yanayomwagika hivyo kufanya maji yaendelee kumwagika. DAWASA njooni mfanye kazi yenu. Maji...
  4. Mkalukungone mwamba

    Wauzaji maji Dar es Salaam walia hali ni mbaya kibiashara kutokana na maji kuadimika

    BAADHI ya wafanyabiashara wanaouza maji wanayohifadhi katika matangi ya kubebwa na magari maarufu maboza, mkoani Dar es Salaam, wamelalama hali ni mbaya kibiashara kutokana na maji kuadimika. Katika mazungumzo na Nipashe, wafanyabiashara hao wamedai kuwa kuadimika kwa bidhaa yao hiyo kunawapa...
  5. chakii

    KERO Inaingia wiki ya tatu sasa wakazi wa Kimara hawajui kitu kinachoitwa maji Meneja wa DAWASA kazi imekushinda, ondoka ofisini

    Inaingia wiki ya tatu sasa wakazi wa Kimara hawajui kitu kinachoitwa maji , na wala hamna taarifa wala maelezo yoyote ambayo yanatolewa na mamlaka husika. Meneja umetulia ofisini una sign posho na kupokea mshahara bila kufanya kazi, maana ni kazi gani hiyo ambayo unafanya wakati wananchi...
  6. W

    KERO Maji yamekuwa adimu huku kwetu Kimara kuanzia Kibo, Baruti, Korogwe

    Habari ya leo wanajamvi. Wadau maji yamekuwa adimu huku kwetu Kimara kuanzia kibo, Baruti, Korogwe Mnaweza kuongezea maeneo mengine.
  7. Hjalte

    KERO Huduma ya Maji Kimara haipo tangu Alhamisi

    Wakazi wa Kimara yote wilayani Ubungo mkoa wa Dar es Salaam hawana huduma ya maji tangu siku ya Alhamisi,hali inayozua sintofahamu kwani imekuwa ni kawaida kukatika kwa maji kila mwisho wa wiki wa kwa takribani mwezi mmoja sasa.
  8. Pfizer

    Rais Samia hana deni katika Huduma ya Maji Ubungo

    "RAIS SAMIA HANA DENI HUDUMA YA MAJI UBUNGO" - LUKUVI Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi ametembelea Mradi wa Maji Mshikamano uliopo Kata ya Mbezi, Wilaya ya Ubungo katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Ubungo ambapo...
  9. Hyrax

    DAWASA ni moja kati ya idara za serikali zilizofeli sana jijini Dar es salaam, viongozi wawajibishwe

    Nashindwa kuelewa sijui hawa watenda kazi wa hii DAWASA kuanzia viongozi hadi watenda kazi wa chini mmeshindwa kabisa kupata njia mbadala ya kuondoa hizi changamoto za huduma ya maji jijini dar es salaam? Jiji lenye zaidi ya watu milioni 8 Ni aibu sana kuona huduma ya maji ikisuasua nyie...
  10. Pfizer

    Dar: Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi wa DAWASA, Shaban Mkwanywe kwasababu ya uzembe kazini

    AWESO AIPANGUA DAWASA, AIWEKA CHINI YA UANGALIZI MAALUM Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA), Kiula Kingu akae pembeni kwa muda, pia amemsimamisha kazi, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji Maji-DAWASA, Shaban...
Back
Top Bottom