huduma ya vivuko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pfizer

    Ukarabati wa Kivuko cha MV. Magogoni unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Desemba, 2024

    UKARABATI WA MV. MAGOGONI KUKAMILIKA DISEMBA 2024 Ukarabati wa Kivuko cha Mv. Magogoni unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Desemba, 2024 na kurejeshwa Nchini ili kuanza kutoa huduma kwa wananchi. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya Bungeni jijini Dodoma...
  2. T

    Ndugulile ataka Azimio la Bunge la kubinafsisha huduma ya vivuko Kigamboni

    Mbunge wa Kigamboni Dkt Faustine Ndugulile (Mb) ameliomba Bunge kupitisha azimio la kubinafsisha huduma za vivuko nchini. Dkt Ndugulile aliyasema haya leo tarehe 31.01.2022 wakati akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu iliyowasilishwa mapema leo Bungeni, Dodoma. Dkt...
Back
Top Bottom