huduma za choo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hospitali ya Rufaa Iringa yasema “Hatulipishi Huduma ya Vyoo, anayefanya hivyo ni mtu binafsi”

    Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai Hospitali ya Rufaa ya Iringa inalipisha Huduma ya Vyoo, Afisa Habari wa Taasisi hiyo, Zainab Mlimbila amesema wana Huduma ya Vyoo kwa ajili ya Wagonjwa waliolazwa na vipo vya Wagonjwa wa Nje na watu wengine na kuwa vyote ni bure. Kusoma hoja ya Mdau bofya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…